LRCT eLibrary
Welcome to the LRCT eLibrary. This digital platform serves as a hub for disseminating information to the public about law reform activities.

LRCT Library Communities
Select a community to browse its collections.
Recent Submissions
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. George Mandepo akipokea Tuzo aliyokabidhiwa na Bi. Jackline Nungu.
(Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania., 2026-05-14) Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. George Mandepo akipokea Tuzo aliyokabidhiwa na Bi. Jackline Nungu kwa niaba ya Watumishi wa Tume hiyo ikiwa ni kutambua mchango wake mkubwa katika kuimarisha utendaji kazi, ushirikiano na maendeleo ya watumishi ndani ya Tume hiyo. Tuzo hiyo ilitolewa Mei 14,2026 na watumishi wakati wa Kikao cha Baraza la 24 la Wafanyakazi lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Tume ya Utumishi wa Mahakama uliopo mjini Dodoma .
Naibu waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Zainabu Katimba akiwa na viongozi pamoja na Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Mei 14, 2026 Jijini Dodoma.
(Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania., 2026-05-14) Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Naibu waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Zainabu Katimba akiwa na viongozi pamoja na Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Mei 14, 2026 Jijini Dodoma.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw.George Mandepo akiwa katika picha ya pamoja.
(Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania., 2026-04-29) Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw.George Mandepo akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Idara ya Usimamizi wa Mashauri na Uthibiti Ubora kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Bw. Camilius Ruhinda aliyesimama kulia kwake na Bi. Mercy Kyamba Mkurugenzi Msaidizi Uthibiti ubora, kushoto kwake, wengine ni manaibu katibu na maafisa sheria kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria mara baada ya kikao kazi cha utekelezaji wa majukumu ya taasisi hizo. Tarehe 29/4/2026
Mei mosi.
(Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania., 2026-05-01) Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) tarehe 1 Mei 2026 ambapo katika mkoa wa Dodoma maadhimisho hayo yamefanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Gazeti la Serikali la Tanzania Toleo Na.19
(Mpiga Chapa wa Serikali., 2026-05-08) Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Linatolewa kwa Idhini ya Serikali na Kuandikishwa Posta kama Gazeti.

