Elimu kwa Umma

Abstract

Wanafunzi na baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Lindi ( Lindi High School) wakiwa katika picha ya pamoja na maafisa kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania mara baada ya kuwapatia elimu ya sheria kuhusu Makosa ya Kimaadili na Makosa ya Kimtandao. Tarehe 28/4/2025

Description

Keywords

Citation

Collections