Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Bw. George Mandepo .
Date
2026-06-18
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Abstract
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Bw. George Mandepo akiwa na wajumbe wa kikao kazi waliohudhuria kikao hicho kujadili kuhusu mfumo wa sheria zinazosimamia masuala ya Nishati pamoja na mfumo wa Sheria za Viwanda, Biashara na Uwekezaji , kilichofanyika tarehe 18/6/2026 katika Hotel ya Apc Bunju Jijini Dar es salaam.

