Maonyesho Sabasaba 2025
Date
2025-07-06
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Law Reform Commission Of Tanzania
Abstract
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Jaji wa Mahakama ya Rufan, Mhe. Jaji Winfrida B. Korosso aliebeba pochi akiwa na afisa sheria Vicky Mbunde alipotembelea banda la Tume hiyo katika Maonesho ya 49 ya biashara kimataifa Sabasaba tarehe 6 Julai 2025.

