Picha ya Pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakim Maswi.
| dc.contributor.author | Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania. | |
| dc.date.accessioned | 2025-12-02T07:44:25Z | |
| dc.date.available | 2025-12-02T07:44:25Z | |
| dc.date.issued | 2025-11-19 | |
| dc.description.abstract | Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakim Maswi, na Bw. George Mandepo, Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania alieketi kulia kwake, Bi. Jackline Nungu, Katibu wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume hiyo alieketi upande wa kushoto, wengine waliosimama ni Ma - Naibu katibu, Mkurugenzi wa Huduma za Tasisi na wakuu wa Idara na Vitengo, picha iliyopigwa wakati Katibu Mkuu alipofika kufungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa ,Tume katika Ukumbi wa Hotel ya Saanan Jijin Dodoma Tarehe 19 Novemba 2025. | |
| dc.identifier.uri | https://elibrary.lrct.go.tz/handle/123456789/94 | |
| dc.language.iso | sw | |
| dc.publisher | Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania. | |
| dc.title | Picha ya Pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Eliakim Maswi. | |
| dc.type | Image |

