Mei mosi.
Date
2026-05-01
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Abstract
Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) tarehe 1 Mei 2026 ambapo katika mkoa wa Dodoma maadhimisho hayo yamefanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

