Kutembelewa na wageni kutoka Chuo Kikuu Mzumbe na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Dodoma
Files
Date
2025-07-29
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Law Reform Commission Of Tanzania
Abstract
Katibu Mtendji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, George Mandepo na baadhi ya viongozi wa Tume hiyo wakiwa na wageni kutoka Chuo Kikuu Mzumbe na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Dodoma walipotembelea ofisi za Tume hiyo tarehe 29 Julai 2025

