Wanamichezo wa timu ya Tumesheria Sports Club.

Date

2025-09-06

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.

Abstract

Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Mohamed Mavura, alieketi katikati akiwa na Wanamichezo wa timu ya Tumesheria Sports Club, wanaoshiriki Mashindano ya SHIMIWI 2025, aliwapotembelea kambini Kiloleli, Ilemela Jijini Mwanza tarehe 6/9/2025.

Description

Keywords

Citation

Collections