Mkataba wa makubaliano ya ushirikiano.
Date
2025-09
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Abstract
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar wakiwa katika kikao kazi cha kuimarisha utekelezaji wa mkataba wa makubaliano ya ushirikiano (MoU) kati ya pande hizo mbili, kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa ofisi hiyo mjini Zanzibar.

